Saturday, August 18, 2012

YAH: TAREHE ZA KWENDA TP.

Hii ni kuwafahamisha wanafunzi wote wa BAED1 & BAED2 Kwamba Mazoezi ya Ualimu
 (Teaching practicals) yataanza tarehe 10/09/2012 - 20/10/2012. Unakumbushwa kuwahi mapema kwenye kituo chako cha mazoezi na kujiandaa mapema kwa ajili ya kufanyiwa tathmini (Assesssment) na wahadhiri kutoka chuoni kwetu STEMMUCO.

SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais.
STEMMUCO.

Friday, August 17, 2012

RE: SUPPLEMENATY AND SPECIAL EXAMINATIONS

This is to inform all students who are needed to seat for supplementary Examinations and Special examinations that, the aforesaid examinations shall be seated by 03rd - 08th September 2012 and not Otherwise!
NB: If you will happen to miss any examination without information and/or undue factor for the miss of exam, you will cease to exist from studies.
SALLA, Donati P.
The Vice President.
STEMMUSO.

TAARIFA JUU FEDHA ZA UTAFITI, TP, PT,NA MATATIZO YA MITIHANI.

Hii ni kuwataarifu wanafunzi wote wanaohusika na masuala tajwa hapo juu kwamba Fedha za Utafiti, PT, na TP, Zinatarajiwa kutoka kwanzia wiki ya tarehe 22/08/2012 pia matatizo yote ya Mitihani yatatuliwa kuanzia wiki hiyo ya 22/08/2012 Na Mhe. Francis Clement - Naibu Waziri wa Habari na Masuala ya Chuo. Unaweza Kuwasiliana na Mhe. Naibu Waziri kwa namba 0717 521230.
Ofisi ya Rais inawaomba radhi kwa usumbufu wowote ambao utajitokeza.
Imetolewa na;-
Ndg: SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais.
STEMMUSO.