Wednesday, December 11, 2013

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA MAHAFALI YA MWAKA WA TATU TAR 6/12/2013

Serikali ya Wanachuo (STEMMUCSO) inawapongeza wanachuo wenzetu wote waliofanikiwa kumaliza salama na hatimaye leo wmetunukiwa shahada zao na tunawaombea heri na baraka huko muendako muweze kufanikiwa zaidi katika maisha yenu


Askofu Gabriel akiwaongoza maaskofu wengine,mapadre wakufunzi wahitimu na waumini kutoka kanisani mara baada ya kumalizika kwa misa ya mahafali

Picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa ibada ya misa ya mahafali


                                      Wanakwaya wakiongoza maandamano ya kutoka kanisani
Maaskofu,Mapadre,wakufunzi na wahitimu wa mwaka wa tatu wakiwa katika picha ya pamoja

Waziri wa jinsia wa serikali ya wanachuo Mh Happy akigawa vitabu vya mahafali kwa wahitimu

Rais wa serikali ya wanachuo Mh Mwatebela Agrey kushoto akiwa na Mh Patrick Patrick ambaye ni waziri ofisi ya rais kabla ya kuanza rasmi kwa sherehe  ya mahafali

Wakufunzi wakiwa katika maandamano kuelekea jukwaa kuu tayari kwa kuanza sherehe ya mahafali

Mkuu wa chuo akiwaongoza mgeni rasmi na wageni wengine waalikwa katika Jukwaa kuu 

Wahitimu wa shahada ya sanaa na ualimu wakiwa katika jukwaa

wahitumu wa shahada ya elimu na sanaa wakisubiri kutunukiwa shahada zao

Mkuu wa chuo Father Dr. Longino akitoa nasaha zake kwa wahitimu


Wahitimu wa shahada ya Mahusiano ya jamii(Sociology)wakifurahia mara baada ya kutunukiwa shahada zao

Wahitimu wakipongezana
Mgeni rasmi akitoa nasaha zake kwa wahitimu



Mmoja wa wahitimu akishangilia mara baada ya kutunukiwa shahada


Wanakamati ya ulizi walikua mstari wa mbele kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa.

Wahitimu wa shahada ya elimu na sanaa

Naibu waziri wa habari wa serikali iliyopita Mh Francis Mtunda a.k.a Jasiri kulia akiwa katika picha ya pamoja na Naibu waziri wa habari wa sasa Mh Danstan Mahiza mwenye shti jeupe

Picha ya pamoja ya Maaskofu,Mgeni rasmi,Mkuu wa chuo na wakufunzi mara baada ya kumalizika kwa sherehe za mhafali





Father Champlain akifungua sherehe za mahafali kwa sala

Katibu wa wizara ya habari Mh Nassor kushoto akiwa na wanakamati ya ulinzi

Mwishowe wanakamati  walijumuika pamoja na kuburudika



Picha zote na 
Danstan Mahiza
Naibu waziri wa habari
STEMMUCSO


Saturday, November 9, 2013

SPECIAL ANNOUNCEMENT TO ALL EXPECTED GRADUANDS OF STEMMUCO (2013)

Preliminary list for expected graduands who will attend the 2nd University Graduation ceremony on 5th December 2013 will be released on 5th November 2013.

NOTE: Students with academic problems will have to
submit their complaints to the Examinations Officer from 5th to 7th November 2013 (either physically or through e
mail).
E Mail Address: sr.flora71@yahoo.com
Tel: 0787 -141722


Thursday, November 7, 2013

TEACHING POLICY

DOWNLOAD TEACHING POLICY HAPAhttps://drive.google.com/file/d/0B6XZvPZWiHcoVkNtOS15Nm

WELCOME FIRST YEAR EVENT

Serikali ya wanachuo STEMMUCSO  kupitia kwa wizara yake ya Maafa na  Starehe inapenda kuwafahamisha kuwa siku ya Ijumaa tar 08/11/2013 kuanzia saa moja usiku kutakua na bash/party ya kuwakaribisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza(certificate,Diploma na Shahada) itakayofanyika katika ukumbi wa Makonde Beach Club.


Hakutakua na kiingilio kwa wanachuo wote wa STEMMUCO,ila kwa wale ambao watapenda kuungana nasi watalipa kiingilio cha Tsh 3000/= tu.
Unakumbushwa kufika na kitambulisho chako cha chuo.


                                    Wote mnakaribishwa!


                                                                    Danstan Mahiza
                                                              Naibu Waziri wa Habari
                                                                     STEMMUCSO

Friday, November 1, 2013

KIKAO CHA VIONGOZI MBALIMBALI WA WANACHUO NA WAJUMBE/VIONGOZI KUTOKA TCU

Kikao hicho kiliwakutanisha wajumbe/viongozi kutoka Tanzania Commission for Universities (TCU) uongozi wote wa STEMMUSO ,Rais,Makamu wa Raisi,waziri mkuu,baraza lote la mawaziri na makatibu.Pia walikuwepo Wabunge wa Stemmusco na MaCR wa facult zote na wa kila somo.

Lengo kuu la kikao hicho lilikua ni kujadili changamoto mbalimbali zinazo kikabili chuo chetu.Wawakilishi hao wa wanachuo waliweza kuwasilisha changamoto nyingi pamoja na mazuri mengi tu ambayo yamefanyika chuoni kwetu pia walijaribu kutoa ushauri wa nini kifanyike katika kukiboresha chuo chetu na kuwafanya wanachuo wote wayafurahie maisha ya chuo pamoja na kuzingatia ubora  unaotakiwa kwa sheria za vyuo vikuu vyote nchini unafikiwa....

Viongozi wa Stemmusco wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka TCU akiwemo Dr,Kitila Mkumbo(mwenye miwani katikati)Mara baada ya kumalizika kwa kikao katika ukumbi wa Main Hall

Wawakilishi wa wanachuo wakiwa makini kusikiliza nini kinaelezwa katika kikao hicho na viongozi kutoka TCU

Dr. Kitila Mkumbo Akijitambulisha kwa viongozi mbalimbali wa wanachuo 

Rais wa Stemmusco Mh.Agrey Mwatebela nae ilipata nafasi ya kuzungumza machche katika kikao hicho



                                                       
                                                     
                                                              Danstan Mahiza
                                                        Naibu Waziri wa Habari
                                                             STEMMUCSO

Monday, October 28, 2013

PICHA ZA YALIYOJILI KATIKA UFUNGUZI WA MASHINDANO YA BIG SCORE TAR 26/10/2013

Mkuu wa chuo akisalimiana na wachezaji wa mmwaka wa pili kushoto kwake ni raisi wa Stemmucso
Wachezaji wa timu ya WHITE EAGLE ya mwaka wa tatu wakiwa ndani ya bus
 tayari kwa kuelekea viwanja vya TTC 

Kutoka kushoto ni Dean of Student,Rais wa stemmusco,Mkuu wa chuo Rev.Dr .Longoni.Mr Buteta na
Speaker wa bunge la serikali ya wanafunzi wakiwa meza kuu ksubiri ufunguzi wa mashindano

Kikosi cha timu ya mwaka wa pili B

Kikosi cha timu ya mwaka wa tatu maarufu kama BAED CITY
Picha ya pamoja kati ya Mkuu wa chuo,Dean of student,Msajili wa wanachuo,Rais wa Stemmucso na timu ya mpira wa Pete ya mwaka wa tatu

Picha ya pamoja kati ya Mkuu wa chuo na timu ya netball ya   mwaka wa pili

Kikosi cha timu ya mwaka wa pili B


Rais wa Stemmusco Mh. Mwatebela Agrey akizungumza na wachezaji wa timu zote wakati wa
ufunguzi wa mashindano

Dean of Students mwenye jezi nyeupe akitoa nasaha zake wakati wa ufunguzi wa mashindano
aliyesimama kulia kwake ni Rais wa serikali ya Stemmusco

Mkuu wa chuo Akitoa nasaha zake katika hotuba fupi kwa wachezaji wa timu zote wakati
akizindua rasmi  mashindano ya BIGSCORE

picha ya pamoja ya mkuu wa chuo,dean of students,Rais na kikosi cha timu ya White eagle

Kikosi cha timu ya mwaka wa pili A wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa chuo,Dean of Students,msajli na Rais wa stemmucso


Kikosi kamili cha timu ya mwaka wa tatu (white Eagle)


Mkuu wa chuo akisalimiana na wachezaji wa White Eagle


Mashabiki wa timu ya mwka wa tatu ya WHITE EAGLE

Mkuu  wa chuo akizungumza na wachezaji wa mchezo wa volleyball katika viwanja vya TTC

Mkuu wa chuo akikagua jezi ya mchezaji nguli wa white eagle maarufu kama Damme


Shabiki maarufu wa mwaka wa tatu  Calvin super tall akipuliza vuvuzela


Picha zote na; Danstan Mahiza
Naibu waziri wa Habari
STEMMUSCO