Saturday, October 27, 2012

RE: THE OFFICIAL BEGGINING OF THE 2012/2013 ACADEMIC YEAR.

This is to inform the public of Stella Maris Mtwara University that, the Academic year for the year 2012/2013 has already started from 24th October 2012. You are advised to get in touch with the timetable of the University College as the studies are on progress and other activities are continuing as usual.
Welcome to STEMMUCO and get in touch with your Government.

SALLA, Donati P.
The Vice President.
STELLA MARIS MTWARA UNIVERSITY COLLEGE.

Friday, October 12, 2012

FOR THIRD YEAR STUDENTS ONLY WHO HAVE FINISHED THEIR STUDIES IN 2011/2012 ACADEMIC YEAR.

This is to inform the third year students who have finished their studies in the 2011/2012 Academic year that your academic results from first up to sixth semester are out and they are available to the University College's link which is Https://www.stemmuco.ac.tz If you have not yet settled the matters about research project  you can also visit the highlighted site and see the timetable for defending your research work.
If you will be having any query which shall rise as the effects of viewing your results you may send your matter directly to the following E-Mail addresses;-
(a) mpmandalu@yahoo.com
(b) sr.flora71@yahoo.com
(c) education.stemmuso@gmail.com

Thank you for visiting our blogsite.

SALLA, Donati P.
THE VICE PRESIDENT
STELLA MARIS MTWARA UNIVERSITY COLLEGE.

Re:THE RELEASE OF SUPPLEMENTARY/SPECIAL EXAMINATIONS.

This is to inform the public of Stella Maris Mtwara University College that, the results of Special/Supplementary Examinations which were conducted from 03rd September 2012 - 08th September 2012 are out and they are available in the University College Website which is Https://www.stemmuco.ac.tz if you are concerned with this information you may visit the highlighted link and see you results in the portal written "Combined Supp". For any query  you may send your matter direct to the following emails;-
(a) mpmandalu@yahoo.com
(b) sr.flora71@yahoo.com
(c) education.stemmuso@gmail.com

Thanks for your visit in this blogsite.
SALLA, Donati P.
THE VICE PRESIDENT
STEMMUCO.

Wednesday, September 19, 2012

YAH: WANAFUNZI WALIOSHINDWA KUFANYA MITIHANI MAALUM NA YA KUJAZILIA (SPECIAL & SUPPLEMENTARY EXAMINATIONS)

Baada ya Kikao Cha Kamati ya taaluma ngazi ya Chuo kukaa na kuamua maamuzi yake Mnamo wiki iliyopita, kikao hicho kimeamua maamuzi yafuatayo kwamba, wale wote walioshindwa kufanya mitihani tajwa hapo juu kutokana na sababu mbalimbali watapewa nafasi ya kufanya mtihani husika mnamo mwezi septemba 2013 kwenye kipindi cha kufanya mitihani maalum na ya kujazilia. Pamoja na hayo wanafunzi wafuatao wawasiliane na Ndg. Clement Francis - Naibu Waziri wa Habari na Masuala ya Chuo ili waweze kupata barua zao zinazohusiana na tangazo hili. Unaweza kuwasiliana na Ndg. Clement Francis kwa namba zifuatazo 0717 521230.
Wanafunzi hao ni;-
1. MSANGI, Ridhwan E. BAED 15283.
2. NYARUBONA, Kassim BAED 15430
3. RUTEMBA, Issa H. BAED 15531
4. MWAKUBALI, Jophrey BAED 21666
5. MILANZI, David BAED 21589.
6. KAYEGEJI, Adam K. BAED 14929
7. JACKSON, Mussa BAED 14803.

ANGALIZO: Wahusika wa tangazo hili ni wale wenye tatizo tajwa kuanzia Mwaka wa Kwanza hadi Mwaka wa Tatu. Kwa Msaada zaidi wasiliana na Mwadili - Kitivo Cha Elimu kwa simu Namba 0715 86 43 79.

CLEMENT Francis 
NAIBU WAZIRI WA HABARI NA MASUALA YA CHUO.
CHUO KIKUU CHA STELLA MARIS MTWARA.

Saturday, September 8, 2012

YAH: KUTOLEWA KWA TAARIFA RASMI NA YA MWISHO KUHUSU MPANGILIO WA VITUO VYA KUFANYIA MAZOEZI YA UALIMU (TP ALLOCATIONS)


Hii ni kuwataarifu wanafunzi wote wa Mwaka wa Kwanza ambao wanatarajia kuingia Mwaka wa Pili, na wale wa Mwaka wa pili wanaotarajia kuingia Mwaka wa tatu katika Mwaka wa Masomo 2012/2013 katika  Chuo Kikuu Cha Stella Maris Mtwara kwamba, taarifa rasmi ya matokeo ya kupangwa kwenye vituo vya kufanyia mazoezi ya Ualimu (Teaching Practices) inapatikana katika wavuti ya Http://www.stemmuco.ac.tz hivyo basi unapaswa kufungua wavuti tajwa ili ufahamu ni wapi ulipopangwa kufanya Mazoezi ya Ualimu.
NB: (1)Hapatakuwepo na mabadiliko yoyote ya Kituo hivyo basi NENDA KWENYE KITUO ULICHOPANGIWA MOJA KWA MOJA. Pia hupaswi kuchelewa kwenye Kituo kwa sababu kama Mtathmini atapita katika kituo chako na akakukosa  utapaswa kurudia mwaka wa masomo kwani TP ni sehemu ya mtihani wa kitaaluma hapa Chuoni.
(2) Kwa tatizo lolote litakalo jitokeza wakati ukiwa kwenye mazoezi  unapaswa kuwasiliana na Mratibu wa eneo lako au kupiga namba za simu zifuatazo 0713 286 999, 0717 521230
, 0765 194 201. 
(3) Baada ya kumaliza Mazoezi unapaswa kuja Chuoni Moja kwa Moja kwa ajili ya Masomo kama ratiba inavyoelekeza. (Kwa Maelezo kuhusu tarehe za kufungua Chuo pekua katika Masjala ya wazi ya blogu hii).

SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais.
CHUO KIKUU CHA STELLA MARIS MTWARA.

YAH: HOSTELI ZA CHUO.

Hii ni kuutaarifu Umma wa wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Stella Maris Mtwara kwamba Hosteli za Chuo katika mwaka wa masomo 2012/2013 ni kwa ajili ya Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza tuu na wale wanafunzi wenye Mahitaji maalumu. Hivyo basi wale walioshikilia vyumba kwa kuvifunga na kuondoka na funguo za vyumba husika wanapaswa kurudisha mara moja kwa Kiongozi Mwandamizi anayeshughulikia Masuala ya Udahili, Ukaribisho, na Makazi kwa namna yeyote ile na kwa haraka itakavyowezekana. Wale wanafunzi wenye mahitaji maalum watume barua za maombi ya kuishi hosteli kwenda kwa Mwadili wa Wanafunzi STEMMUCO. Barua zitumwe kwenye anuani ya barua pepe ifuatayo superintendent.stemmuso@gmail.com Mwisho wa kupokea maombi hayo ni Septemba 16, 2012. Upatapo tangazo hili umuarifu na mwenzako.

SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais.
STEMMUCO.

Friday, September 7, 2012

ATTENTION TO ALL FIRST YEAR STUDENTS

Those who have been selected to join the various programmes in our University College and they would wish to have admission letters for permissions from their job stations and/or scholarship/sponsorship  purposes, you may send your inquiry to The Admissions Officer (Mr. Buteta) through the following numbers ; +255 (0) 655- 467-694, +255 (0) 767-467-694, +255 (0) 783 - 467-694 or by using the following e-mail addresses; buteta@yahoo.co.uk, buteta@stemmuco.ac.tz, admissions@stemmuco.ac.tz.

Karibu Sana!

SALLA, Donati P.
The STEMMUSO Vice President.

Re: THE OPENING DATES AT STELLA MARIS MTWARA UNIVERSITY COLLEGE.

This is to inform you Officially that, The following are the dates of opening the 2012/2013 Academic year in Our College:
1) All First year Students ( Certificates, Bachelor degrees, and Master  Students) they shall commence the 2012/2013 Academic year on Monday September 17, 2012.

2) The Continuing Students BASO2, & BASO3 Shall commence the 2012/2013 Academic year on Monday September 24, 2012.

3) The Continuing Students (BAED2, BAED3, BAPHILED2, BAPHILED3) Shall commence the 2012/2013 Academic year on Wednesday October 24, 2012.

SALLA, Donati P.
The STEMMUSO Vice President.

Thursday, September 6, 2012

YAH: UTEUZI WA NDG. NG'HUMBUBANHU, Abel NA KUTUNUKIWA HATI YA UWAJIBIKAJI KATIKA SERIKALI KWA NDG: FRANCIS CLEMENT

Hii ni kuutaarifu Umma wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Stella Maris Mtwara kwamba, Mhe. Rais KAMILI, John C. wa Serikali ya Wanafunzi STEMMUSO amemteua Ndg. NG'HUMBUBANHU, Abel kuwa Kiongozi mwandamizi Ofisi ya Rais, kwa ajili ya kushughulikia Masuala ya udahili wa wanafunzi hapa Chuoni. Pia katika Shughuli zake za leo Mhe.Rais amemtunuku Ndg. Clement Francis hati ya Uwajibikaji katika Serikali, pamoja na kumteua rarsmi kama Msimamizi Mwandamizi wa Ustawi wa Wanafunzi na Chuo, katika Serikali ya Wanafunzi - STEMMUSO. Pamoja na hayo Mhe.Clement ataendelea kuwa Naibu Waziri wa Habari na Masuala ya Chuo huku akifanya kazi ya Usimamizi Mwandamizi katika ofisi ya Waziri Mkuu - STEMMUSO.
Mwisho Mhe.Rais amewapongeza viongozi hawa na kuwatakia kila kheri katika utekelezaji wa majukumu yao.

"Aluta Continua" Tuongeze jitihada katika kulijenga jiji la Mungu!

SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais
CHUO KIKUU CHA STELLA MARIS MTWARA.




YAH: MALIPO YA POSHO YA UTAFITI KWA WANAFUNZI WALIOMALIZA MWAKA WA TATU KATIKA MWAKA WA MASOMO 2011/2012

Hii ni kuwataarifu wanafunzi wote waliomaliza mwaka wa tatu Chuoni STEMMUCO katika mwaka wa masomo 2011/2012 kwamba, malipo ya posho ya kufanya utafiti ni shilingi 100,000/= TZS (Laki moja tu ya Kitanzania). Pia kwa mujibu wa kanuni za utoaji wa fedha za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, ni kwamba haturuhusiwi kufanya malipo yoyote kwa Mwanafunzi ambaye hajasaini taarifa za uthibitisho wa kupokea malipo hayo. Hivyo basi wale wanachuo walimaliza masomo yao katika mwaka tajwa hapo juu, kama wapo jirani na Chuo wanashauriwa kufika hapa chuoni na kwenda moja kwa moja kwenye ofisi ya Mwadili wa wanafunzi kwa ajili ya kusaini malipo yao. Wale wanachuo ambao wapo mbali mnashauriwa kuwa watulivu hadi siku ya mahafali (ambapo ni mwezi Desemba) hivyo basi utakapokuja Chuoni kwa ajili ya Mahafali ndipo hapo utakaposaini na kulipwa malipo yako. Kama unaona kwamba unaweza kuja hapa chuoni na kusaini malipo yako basi hakuna kizuizi chochote kwani unaweza kuja ukasaini, kisha ukapewa malipo yako.

Ofisi ya Mwadili wa Wanafunzi pamoja Ofisi ya Waziri wa Mikopo - STEMMUSO, Kwa pamoja tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais
CHUO KIKUU CHA STELLA MARIS MTWARA.

Wednesday, September 5, 2012

HABARI MPASUKO (Breaking News)

Hii ni kuwataarifu Wanafunzi wote wa Chuo Kikuu Cha Stella Maris Mtwara ambao wanatarajia kuingia Mwaka wa pili na wa tatu katika mwaka wa masomo 2012/2013 na pia ni wafaidika wa mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu - Tanzania  kwamba, leo Jumatano tarehe 05 Septemba 2012, fedha za posho kwa ajili ya Mafunzo kwa vitendo zimekwisha wekwa katika akaunti zenu. wale wenye matatizo mbalimbali yanahusu mikopo wanaweza kutuma taarifa za matatizo yao kupitia mikopo.stemmuso@gmail.com ili matatizo yao yaweze kutatuliwa. Kwa wanafunzi wa mwaka wa tatu wanaombwa kuwa na uvumilivu kidogo wakati Afisa Mikopo wa Chuo akiendelea kuandaa taratibu za kisheria kwa ajili ya Malipo yao.

Nawatakieni siku njema.

SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais
STELLA MARIS MTWARA UNIVERSITY COLLEGE.

YAH: TANZIA YA KIFO CHA DEZDER DENICE

Uongozi wa Serikali ya Wanafunzi STEMMUSO unasikitika kuwataarifu juu ya kifo cha mwanafunzi mwenzetu aliyekuwa mwaka wa pili na kutaraji kuingia mwaka wa tatu 2012/2013 ambaye Jina lake ni DEZDER, Denice au kwa jina maarufu "Kaboy" kwamba amefariki usiku wa kuamkia Jumatatu tarehe 03 September 2012. Marehemu amezikwa kijijini kwao Rubya, Mkoani Kagera katika siku ya Jumanne tarehe 04 September 2012. Kwa upande wa Chuo, Chuo Kiliwakilishwa na Padre kutoka SAUT Main Campus na kwa upande wa serikali ya Wanafunzi, Tuliongozwa na Mhe: Deusdedith Mathius - Naibu Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi STEMMUSO. Chuo kilitoa rambirambi ya fedha taslimu kwenye familia ya marehemu na pia  baadhi ya wanafunzi wenzetu wa STEMMUCO waishio mkoani Kagera walihudhuria maziko hayo.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa! Jina la Bwana libarikiwe na Mungu ailaze roho ya marehemu pahala pema peponi Amen.

SALLA, Donati P.
Makamu wa  Rais
STELLA MARIS MTWARA UNIVERSITY COLLEGE.

Monday, September 3, 2012

RE:PHILOSOPHY OF EDUCATION (EF:112)

This is to inform all students who expect to seat for the Philosophy of Education (EF:112) as their Special/Supplementary Examination that, the aforesaid examination (EF:112) shall be done by tommorow Tuesday 04th September 2012 at MTR 7 From 16:00 Hrs to 19:00 Hrs. If you have got this information please may you inform your colleague.

SALLA, Donati P.
The STEMMUSO Vice President.

Sunday, September 2, 2012

YAH: MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA STEMMUCO

Hii ni kuutaarifu Umma wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba, Majina ya watu waliochaguliwa kujinga na Chuo Kikuu Cha Stella Maris Mtwara katika programu mbalimbali yametangazwa jana rasmi na Afisa Udahili wa Chuo kupitia wavuti yetu ya www.stemmuco.ac.tz. Pia fomu za kujiunga na Chuo (Joining Instructions) zinapatikana katika wavuti hiyo ya www.stemmuco.ac.tz ikiwa ni pamoja na mchanganuo wa malipo ya ada. Kama wewe ni mmoja kati ya waliochaguliwa kujiunga na STEMMUCO, unapaswa kupakua (download) fomu inayokuhusu na kuijaza kwa umakini kisha kuja nayo hapa chuoni. Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa katika Chuo Chetu ni wote kuanzia wale wa MBA (Master of Business Administration), Shahada ya Kwanza (Degree programmes), na Cheti katika fani mbalimbali.

SALLA, Donati P.
MAKAMU WA RAIS
STELLA MARIS MTWARA UNIVERSITY COLLEGE
 

RE: THE RELEASE OF 02ND SEMISTER RESULT OF THE YEAR 2011/2012 FOR THIRD YEAR STUDENTS.

The examination results of the second semester in 2011/2012 Academic Year have been released for third year students ONLY. These results include the results for students who are indebted by the college and those who have completed the payments of the tuition fees and all other required financial contributions. Recently the results are posted on the College noticeboard which is found in Dispensary area. You are advised to look for your relative and/or a friend who is present around the college, so that he/she may go and look for your results. Keep in mind that the supplementary and special examinations will be done starting from tomorrow Monday 03rd September 2012 up to Saturday 08th September 2012.

SALLA, Donati P.
The Vice President
Stella Maris Mtwara University College.

Saturday, August 18, 2012

YAH: TAREHE ZA KWENDA TP.

Hii ni kuwafahamisha wanafunzi wote wa BAED1 & BAED2 Kwamba Mazoezi ya Ualimu
 (Teaching practicals) yataanza tarehe 10/09/2012 - 20/10/2012. Unakumbushwa kuwahi mapema kwenye kituo chako cha mazoezi na kujiandaa mapema kwa ajili ya kufanyiwa tathmini (Assesssment) na wahadhiri kutoka chuoni kwetu STEMMUCO.

SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais.
STEMMUCO.

Friday, August 17, 2012

RE: SUPPLEMENATY AND SPECIAL EXAMINATIONS

This is to inform all students who are needed to seat for supplementary Examinations and Special examinations that, the aforesaid examinations shall be seated by 03rd - 08th September 2012 and not Otherwise!
NB: If you will happen to miss any examination without information and/or undue factor for the miss of exam, you will cease to exist from studies.
SALLA, Donati P.
The Vice President.
STEMMUSO.

TAARIFA JUU FEDHA ZA UTAFITI, TP, PT,NA MATATIZO YA MITIHANI.

Hii ni kuwataarifu wanafunzi wote wanaohusika na masuala tajwa hapo juu kwamba Fedha za Utafiti, PT, na TP, Zinatarajiwa kutoka kwanzia wiki ya tarehe 22/08/2012 pia matatizo yote ya Mitihani yatatuliwa kuanzia wiki hiyo ya 22/08/2012 Na Mhe. Francis Clement - Naibu Waziri wa Habari na Masuala ya Chuo. Unaweza Kuwasiliana na Mhe. Naibu Waziri kwa namba 0717 521230.
Ofisi ya Rais inawaomba radhi kwa usumbufu wowote ambao utajitokeza.
Imetolewa na;-
Ndg: SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais.
STEMMUSO.

Saturday, July 21, 2012

TAARIFA RASMI KWA UMMA WA WANAFUNZI STEMMUCO

YAH: MALIPO YA FEDHA ZA MAZOEZI KWA VITENDO, TAREHE YA KUFANYA

          MITIHANI YA KUJAZILIA (SUPPLEMENTARY & SPECIAL EXAMINATIONS), 

          MALIPO YA FEDHA ZA UTAFITI KWA MWAKA WA TATU WALIOMALIZA 

          MASOMO YAO KATIKA MWAKA WA MASOMO 2011/2012, PAMOJA NA 

          TARATIBU ZA MAOMBI YA KOZI NA PROGRAMU MBALIMBALI KATIKA

          CHUO CHETU CHA STELLA MARIS MTWARA.

 Baada ya Kupokea simu na meseji mbalimbali zinazotaka ufafanuzi juu ya masuala tajwa hapo juu, kwa niaba ya Wizara ya Mikopo, Wizara ya Habari na Masuala ya Chuo, pamoja na Wizara ya Elimu, ninatoa taarifa rasmi ya masuala tajwa hapo juu kama ifuatavyo;
(1) MALIPO YA FEDHA ZA MAZOEZI KWA VITENDO.
Mheshimiwa Rais aliniagiza mnamo tarehe 16/07/2012 kufika Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ili Serikali ya STEMMUSO, kwa niaba ya wanafunzi, iweze kupata muafaka au hatma ya malipo ya fedha za mazoezi kwa vitendo zinazofahamika kama "Boom la field" Nilikwenda tarehe 17/07/2012 kuhakiki taarifa hizo. Baada ya kufika bodi nilikuta nyaraka za ulipwaji wa fedha, pamoja na hundi ya fedha iliyokuwa imekwisha andikwa kwa ajili ya malipo ya wanafunzi wa STEMMUCO ambapo hundi hiyo pamoja na oradha ya majina ya walipwaji wa fedha hizo ilikuwa imekwisha andaliwa na Waziri wa Mikopo wa STEMMUSO kwa kushirikiana na Mwadili/Mshauri wa Wanafunzi. Niliwauliza Bodi ya Mikopo Kulikoni? Mbona kuna makaratasi lakini hakuna fedha?Bodi ya Mikopo hawakuwa na majibu yanayoeleweka ila walisema kuwa kuanzia tarehe 17/07/2012 hadi Katikati ya Mwezi wa Augusti Ndani ya kipindi hicho katika muda wowote ule Fedha za field zitaingizwa kwenye akaunti zetu. Jambo lililoonyesha wazi kabisa kwamba Bodi ya Mikopo kwa sasa hawana fedha. Hivyo basi naomba nichukue nafasi hii kuomba wanafunzi na kuwasihi kwa dhati kwamba tuwe watu wenye subira na wavumilivu katika kipindi chote hiki ambacho ni kigumu. Serikali yenu mliyoipa dhamana itahakikisha kwamba inashughulikia suala hili kwa haraka, na kwa umakini mkubwa katika muda mwafaka.

(2) TAREHE YA KUFANYA MITIHANI MAALUM NA ILE YA KUJAZILIA (Supplementary &Special Examinations)
Tarehe iliyokuwa imetangazwa awali ni tarehe 03/09/2012 - 08/09/2012. Mpaka sasa hakuna taarifa zozote za kubadilika kwa tarehe hizo ila baada ya kutangazwa kwa matokeo ya Mitahani ya semista ya pili Mnamo mwezi August, tutatoa taarifa mpya juu ya kubakia kwa tarehe tajwa kwa ajili ya ufanyaji wa mitihani hiyo, au mabadiliko ya tarehe nyingine kwa ajili ya kufanya mitahani husika.
(3) FEDHA ZA MALIPO YA UTAFITI KWA AJILI YA MWAKA WA TATU WALIOMALIZA.
Fedha hizo zipo kwa kuwa ni moja kati ya masuala niliyoyashughulikia nilipokwenda bodi ya Mikopo ila zitatoka wakati wa malipo ya fedha za mazoezi ya Vitendo kwa mwaka wa kwanza na wa pili. Kwa maelezo zaidi soma tangazo namba moja hapo juu.
(4) MAOMBI YA KUSOMA KOZI MBALIMBALI HAPA CHUONI. 
Maelekezo yote ya uombaji wa kozi na programu mbalimbali hapa chuoni pamoja na taratibu na sifa za uombaji, pamoja na makataa (Deadline) ya uombaji wa kozi na programu zote yanapatikana katika tovuti ya chuo ambayo ni Http://www.stemmuco.ac.tz Hivyo basi serikali ya STEMMUSO inawashauri wadau wake kufungua wavuti ya chuo ili kupata taarifa hizo. Pia wanafunzi waliomaliza mwaka wa tatu mnamo mwaka 2011/2012 wanaruhusiwa kuomba programu ya MBA (Master of Business Administration) ilimradi tu wawe na sifa stahiki.



SALLA, Donati P.
MAKAMU WA RAIS
STEMMUSO

Wednesday, July 4, 2012

NAFASI ZA KAZI (VACANCIES)

Hii ni kuwataarifu wanafunzi wote wa Stella Maris Mtwara University College waliohitimu masomo yao ya shahada ya Kwanza kwamba, Kuna nafasi za kazi ya Uhadhiri Msaidizi (Tutorial Assisatants) katika kozi mbalimbali zinazofundishwa hapa chuoni. Kwa maelezo zaidi fungua wavuti ya chuo ambayo ni Http://www.stemmuco.ac.tz kisha fungua sehemu iliyoandikwa "News" utapata taarifa zote kuhusu nafasi hizi za ajira hapa chuoni.
Kwa taarifa juu ya tarehe rasmi ya kufanya mitihani ya kujazilia yaani "Supplementary Examinations" tutawapa taarifa rasmi hapo baadae.
SALLA, Donati P.
MAKAMU WA RAIS
STEMMUCO

Sunday, June 10, 2012

THE CURRENT STEMMUSO GOVERNMENT FOR THE YEAR 2012/2013 IN SAYING A FAREWELL WORD TO THE FORMER STEMMUSO LEADERS

On the Saturday of June 09, 2012 the government of Stella Maris Mtwara University Student's Organization  prepared  a special  party whereby the former leaders of STEMMUSO specifically the Interim governmental leaders, the 2010/2011 governmental leaders, and the 2011/2012 governmental leaders were farewelled .
In the party, the guest of honour was Rev.Dr.Longino Kamuhabwa and the staff members of the college were among the invited guests who attended the party at the MTR 08 in the college.

Tuesday, May 22, 2012

OATH OF ALLEGIANCE

To day its a new day in the Government of Stella Maris Mtwara University Students' Organization because The Union has new leaders by the names are Mr. Kamili John Chammafwa who is The President of the union and Mr. Salla Donati Primi who is the vice president of the Union.
We do wish them All the best!

WELCOME TO STEMMUSO

Welcome to the Stella Maris Mtwara University Students' Organization made under the Universities act No 07 of 2005