Wednesday, July 4, 2012

NAFASI ZA KAZI (VACANCIES)

Hii ni kuwataarifu wanafunzi wote wa Stella Maris Mtwara University College waliohitimu masomo yao ya shahada ya Kwanza kwamba, Kuna nafasi za kazi ya Uhadhiri Msaidizi (Tutorial Assisatants) katika kozi mbalimbali zinazofundishwa hapa chuoni. Kwa maelezo zaidi fungua wavuti ya chuo ambayo ni Http://www.stemmuco.ac.tz kisha fungua sehemu iliyoandikwa "News" utapata taarifa zote kuhusu nafasi hizi za ajira hapa chuoni.
Kwa taarifa juu ya tarehe rasmi ya kufanya mitihani ya kujazilia yaani "Supplementary Examinations" tutawapa taarifa rasmi hapo baadae.
SALLA, Donati P.
MAKAMU WA RAIS
STEMMUCO

1 comment:

FRANCIS MATONDO said...

Tafadhari naomba unipatie barua pepe ya kutuma maonbi ya kazi hapo STEMMUCO.

MATONDO FRANCIS
P.O.BOX 165 MUHEZA
E-MAIL: matondofrancis@gmail.com
MOBILE: 0688900401