Friday, August 17, 2012

TAARIFA JUU FEDHA ZA UTAFITI, TP, PT,NA MATATIZO YA MITIHANI.

Hii ni kuwataarifu wanafunzi wote wanaohusika na masuala tajwa hapo juu kwamba Fedha za Utafiti, PT, na TP, Zinatarajiwa kutoka kwanzia wiki ya tarehe 22/08/2012 pia matatizo yote ya Mitihani yatatuliwa kuanzia wiki hiyo ya 22/08/2012 Na Mhe. Francis Clement - Naibu Waziri wa Habari na Masuala ya Chuo. Unaweza Kuwasiliana na Mhe. Naibu Waziri kwa namba 0717 521230.
Ofisi ya Rais inawaomba radhi kwa usumbufu wowote ambao utajitokeza.
Imetolewa na;-
Ndg: SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais.
STEMMUSO.

1 comment:

MAJULAYO said...

aksanten sana kwa taarifa, mh Waziri endelea kutuhabarisha.