Saturday, August 18, 2012

YAH: TAREHE ZA KWENDA TP.

Hii ni kuwafahamisha wanafunzi wote wa BAED1 & BAED2 Kwamba Mazoezi ya Ualimu
 (Teaching practicals) yataanza tarehe 10/09/2012 - 20/10/2012. Unakumbushwa kuwahi mapema kwenye kituo chako cha mazoezi na kujiandaa mapema kwa ajili ya kufanyiwa tathmini (Assesssment) na wahadhiri kutoka chuoni kwetu STEMMUCO.

SALLA, Donati P.
Makamu wa Rais.
STEMMUCO.

No comments: