Wednesday, December 11, 2013

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA MAHAFALI YA MWAKA WA TATU TAR 6/12/2013

Serikali ya Wanachuo (STEMMUCSO) inawapongeza wanachuo wenzetu wote waliofanikiwa kumaliza salama na hatimaye leo wmetunukiwa shahada zao na tunawaombea heri na baraka huko muendako muweze kufanikiwa zaidi katika maisha yenu


Askofu Gabriel akiwaongoza maaskofu wengine,mapadre wakufunzi wahitimu na waumini kutoka kanisani mara baada ya kumalizika kwa misa ya mahafali

Picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa ibada ya misa ya mahafali


                                      Wanakwaya wakiongoza maandamano ya kutoka kanisani
Maaskofu,Mapadre,wakufunzi na wahitimu wa mwaka wa tatu wakiwa katika picha ya pamoja

Waziri wa jinsia wa serikali ya wanachuo Mh Happy akigawa vitabu vya mahafali kwa wahitimu

Rais wa serikali ya wanachuo Mh Mwatebela Agrey kushoto akiwa na Mh Patrick Patrick ambaye ni waziri ofisi ya rais kabla ya kuanza rasmi kwa sherehe  ya mahafali

Wakufunzi wakiwa katika maandamano kuelekea jukwaa kuu tayari kwa kuanza sherehe ya mahafali

Mkuu wa chuo akiwaongoza mgeni rasmi na wageni wengine waalikwa katika Jukwaa kuu 

Wahitimu wa shahada ya sanaa na ualimu wakiwa katika jukwaa

wahitumu wa shahada ya elimu na sanaa wakisubiri kutunukiwa shahada zao

Mkuu wa chuo Father Dr. Longino akitoa nasaha zake kwa wahitimu


Wahitimu wa shahada ya Mahusiano ya jamii(Sociology)wakifurahia mara baada ya kutunukiwa shahada zao

Wahitimu wakipongezana
Mgeni rasmi akitoa nasaha zake kwa wahitimu



Mmoja wa wahitimu akishangilia mara baada ya kutunukiwa shahada


Wanakamati ya ulizi walikua mstari wa mbele kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa.

Wahitimu wa shahada ya elimu na sanaa

Naibu waziri wa habari wa serikali iliyopita Mh Francis Mtunda a.k.a Jasiri kulia akiwa katika picha ya pamoja na Naibu waziri wa habari wa sasa Mh Danstan Mahiza mwenye shti jeupe

Picha ya pamoja ya Maaskofu,Mgeni rasmi,Mkuu wa chuo na wakufunzi mara baada ya kumalizika kwa sherehe za mhafali





Father Champlain akifungua sherehe za mahafali kwa sala

Katibu wa wizara ya habari Mh Nassor kushoto akiwa na wanakamati ya ulinzi

Mwishowe wanakamati  walijumuika pamoja na kuburudika



Picha zote na 
Danstan Mahiza
Naibu waziri wa habari
STEMMUCSO