Friday, November 1, 2013

KIKAO CHA VIONGOZI MBALIMBALI WA WANACHUO NA WAJUMBE/VIONGOZI KUTOKA TCU

Kikao hicho kiliwakutanisha wajumbe/viongozi kutoka Tanzania Commission for Universities (TCU) uongozi wote wa STEMMUSO ,Rais,Makamu wa Raisi,waziri mkuu,baraza lote la mawaziri na makatibu.Pia walikuwepo Wabunge wa Stemmusco na MaCR wa facult zote na wa kila somo.

Lengo kuu la kikao hicho lilikua ni kujadili changamoto mbalimbali zinazo kikabili chuo chetu.Wawakilishi hao wa wanachuo waliweza kuwasilisha changamoto nyingi pamoja na mazuri mengi tu ambayo yamefanyika chuoni kwetu pia walijaribu kutoa ushauri wa nini kifanyike katika kukiboresha chuo chetu na kuwafanya wanachuo wote wayafurahie maisha ya chuo pamoja na kuzingatia ubora  unaotakiwa kwa sheria za vyuo vikuu vyote nchini unafikiwa....

Viongozi wa Stemmusco wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka TCU akiwemo Dr,Kitila Mkumbo(mwenye miwani katikati)Mara baada ya kumalizika kwa kikao katika ukumbi wa Main Hall

Wawakilishi wa wanachuo wakiwa makini kusikiliza nini kinaelezwa katika kikao hicho na viongozi kutoka TCU

Dr. Kitila Mkumbo Akijitambulisha kwa viongozi mbalimbali wa wanachuo 

Rais wa Stemmusco Mh.Agrey Mwatebela nae ilipata nafasi ya kuzungumza machche katika kikao hicho



                                                       
                                                     
                                                              Danstan Mahiza
                                                        Naibu Waziri wa Habari
                                                             STEMMUCSO

No comments: