Wednesday, September 19, 2012

YAH: WANAFUNZI WALIOSHINDWA KUFANYA MITIHANI MAALUM NA YA KUJAZILIA (SPECIAL & SUPPLEMENTARY EXAMINATIONS)

Baada ya Kikao Cha Kamati ya taaluma ngazi ya Chuo kukaa na kuamua maamuzi yake Mnamo wiki iliyopita, kikao hicho kimeamua maamuzi yafuatayo kwamba, wale wote walioshindwa kufanya mitihani tajwa hapo juu kutokana na sababu mbalimbali watapewa nafasi ya kufanya mtihani husika mnamo mwezi septemba 2013 kwenye kipindi cha kufanya mitihani maalum na ya kujazilia. Pamoja na hayo wanafunzi wafuatao wawasiliane na Ndg. Clement Francis - Naibu Waziri wa Habari na Masuala ya Chuo ili waweze kupata barua zao zinazohusiana na tangazo hili. Unaweza kuwasiliana na Ndg. Clement Francis kwa namba zifuatazo 0717 521230.
Wanafunzi hao ni;-
1. MSANGI, Ridhwan E. BAED 15283.
2. NYARUBONA, Kassim BAED 15430
3. RUTEMBA, Issa H. BAED 15531
4. MWAKUBALI, Jophrey BAED 21666
5. MILANZI, David BAED 21589.
6. KAYEGEJI, Adam K. BAED 14929
7. JACKSON, Mussa BAED 14803.

ANGALIZO: Wahusika wa tangazo hili ni wale wenye tatizo tajwa kuanzia Mwaka wa Kwanza hadi Mwaka wa Tatu. Kwa Msaada zaidi wasiliana na Mwadili - Kitivo Cha Elimu kwa simu Namba 0715 86 43 79.

CLEMENT Francis 
NAIBU WAZIRI WA HABARI NA MASUALA YA CHUO.
CHUO KIKUU CHA STELLA MARIS MTWARA.

No comments: